ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 24, 2023

KAMISHNA WA POLISI JAMII CP SHILOGILE AMEZINDUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO HALMASHAURI YA MSALALA KATA YA BUGARAMA.

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi DCP, Merry Nzuki akiwasalimia Wananchi (Hawapo Pichani) kabla ya uzinduzi wa Jengo la Dawati na Jinsia na Watoto mkoani Shinyanga, Halmashauri ya Msalala Kata ya Bugarama. (PICHA NA JESHI LA POLISI)


Kamishna wa Jeshi la Polisi Kamisheni ya Polisi Jamii CP Faustine  Shilogile, Mkuu wa Wilaya ya Msalala Mboni Mhita mwenye Suti nyeusi, Naibu Mkurugenzi Mkazi Nchini Tanzania Heo Eun na Melissa Barrett Naibu mwakilishi mkazi  toka UNFPA Tanzania wakiwa katika Picha ya pamoja katika zoezi la kukata utepe katika uzinduzi wa Jengo la Dawati Kata ya Bugarama.(PICHA NA JESHI LA POLISI)

Kamishna wa Jeshi la Polisi Kamisheni ya Polisi Jamii CP Faustine  Shilogile kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Msalala Mboni Mhita, mwenye suti nyeusi upande wa pili ni Naibu Mkurugenzi Mkazi Nchini Tanzania Heo Eun na Melissa Barrett Naibu mwakilishi Mkazi  toka UNFPA Tanzania wakiwa katika Picha ya pamoja katika zoezi la kuvuta kitambaa kuashilia Ufunguzi wa Jengo la Dawati Kata ya Bugarama Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga.(PICHA NA JESHI LA POLISI)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.