ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, April 17, 2023

WENJE ATOA YA MOYONI KUHUSU SUALA LA AJIRA NCHINI.

 Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza Mhe. Ezekiel Wenje ametoa ya moyoni kuhusu suala la ajira nchini.

Wenje ameyasema hayo akiwa kwenye ziara yake kuangalia na kutathimini hali ya biashara katika soko la Mchafukuoga lililopo kata ya Igogo jijini hapa. . . . #jembefmkimewaka2023🔥🔥🔥

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.