ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, April 2, 2023

MASHABIKI PAMBA FC WALIA NA MAAMUZI YA MWAMUZI MCHEZO DHIDI YA KITAYOSE FC 0-0

"Daaaah naona hapa Pamba Fc Wana tp Lindanda wanakosa Goli la wazi kabisa mzigo umegonga nguzo dk 29"

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adam Malima (aliyevaa miwani katikati) akiwa na kiongozi wa MZFA Lufano (kushoto)

Mashabiki wa soka la Mwanza akiwemo Paul James Swea PJ (kushoto mwenye kofia)
Diwani wa kata ya Nyamagana Bhikhu Kotecha (wa kwanza kushoto) akiwa jukwaa kuu pamoja na mashabiki wa soka la jiji la Mwanza wakifuatilia mchezo wa Pamba dhidi ya Kitayose Fc aliochezwa katika dimba la Nyamagana kwa matokeo ya sare 0-0
Mwamuzi wa mchezo wa Pamba dhidi ya Kitayose Fc akitoa maelekezo kwa makipa wa timu hizo wakati zikipepetana kwenye mchezo wa Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, aliochezwa katika dimba la Nyamagana kwa matokeo ya sare 0-0
Mchezo ukiendelea kati ya Pamba dhidi ya Kitayose Fc ni katika michuano ya Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, aliochezwa katika dimba la Nyamagana kwa matokeo ya sare 0-0
Mchezo ukiendelea kati ya Pamba dhidi ya Kitayose Fc ni katika michuano ya Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, aliochezwa katika dimba la Nyamagana kwa matokeo ya sare 0-0

Mchezo ukiendelea kati ya Pamba dhidi ya Kitayose Fc ni katika michuano ya Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, aliochezwa katika dimba la Nyamagana kwa matokeo ya sare 0-0
Mchezo ukiendelea kati ya Pamba dhidi ya Kitayose Fc ni katika michuano ya Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, aliochezwa katika dimba la Nyamagana kwa matokeo ya sare 0-0

WENYEJI, Pamba leo wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Kitayosce katika mchezo wa Ligi ya Championship kuwania kupanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza.


Mechi nyingine za Championship leo, vinara JKT Tanzania wamewatandika Mbuni FC 4-0, Mbeya Kwanza imetoka sare ya 1-1 na Green Warriors na Fountain Gate imeichapa 2-0 African Sports.


Msimamo wa Championship sasa JKT Tanzania ina pointi 59 kileleni, ikifuatiwa na Kitayosce pointi 50 baada ya wote kucheza mechi 24, wakati Pamba ni ya tatu kwa pointi zake 48 za mechi 23.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.