ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 15, 2023

KAMA KANUMBA ANGEKUWEPO BONGO MOVIE INGEKUWA WAPI? - PASTOR MYAMBA

 - Maono ya pastor Emmanuel Myamba juu ya Bongo Movie.

- Jeh umewahi kujutia au kutamani baadhi ya vipande vya uigizaji enzi zako vingefutwa? - Pastor Emmanuel Myamba akifanya mahojiano na mwanahabari wetu Mc. Suzuki wa 93.7 Jembe Fm ambapo humo pia kazungumza kuhusu marehemu #kanumba Jinsi alivyomuita katika tasnia ya uigizaji filamu. - Kuna vitu vingi watanzania wanavimisi toka kwa marehemu Kanumba. Hakuwa mchoyo kuwavuta watu kwenye tasnia ya uigizaji, ushuhuda upo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.