ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 21, 2023

ADUI MKUBWA WA BARABARA ZA LAMI NI MAFUTA

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Jeh ni muda gani wa kikomo kwa gari likiharibika barabarani linatakiwa kuondoshwa? Na vipi kunapokuwa na misafara ya viongozi wa kitaifa na wakuu wa nchi, na gari lako likaharibika njiani? Sikiliza, fuatilia maswali ya wanafunzi wa Victoria Nganza High School na majibu toka kwa maafisa wa #TANROADS

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.