ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 21, 2022

#Updates ZA MKUTANO LEO YANGA.


💥Rais wa Young Africans SC Eng.Hersi Ally Said leo amekabidhiwa rasmi ofisi na Uongozi uliopita chini ya Mwenyekiti Dkt. Mshindo Msolla baada ya zoezi la ukaguzi wa hesabu za Klabu kukamilika.


-💥Kwenye dirisha hili dogo Yanga tutafanya usajili wa wachezaji wawili pekee wa kimataifa.


-💥Tumepokea maombi mengi ya wachezaji wetu kutakiwa kwa mikopo Kutoka Kwenye vilabu vya hapahapa Tanzania.Bado hatujafanya maamuzi ila sisi Kama Viongozi tutakaa na kocha Nabi kuona Kama tutaweza kuwaruhusu kwenda sehemu nyingine ili wapate muda mwingi wa kucheza.


-💥Maandalizi kwa ajili ya michezo ya kimataifa tumeshaanza tumekipanga,,tuna nia ya dhati kabisa kufika mbali sisi Kama Yanga.


-💥Chini ya Uongozi wangu na watendaji wenzangu tutakwenda kukamilisha mambo yote ambayo tuliwaahidi wananchama wetu na mashabiki wetu ambayo tutakwenda kufanya ndani ya Yanga.


-💥Bado zoezi la usajili wa wanachama pamoja na mashabiki Kwenye mfumo mpya wa mabadiliko unaendelea niwaombe Wananchi waendelee kujiandiki

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.