ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, October 12, 2022

RAILA AANZA KUWA KARIBU NA RUTO.


Kundi la waendesha bodaboda Jumatano Oktoba 12 walikuwa na bahati baada ya kukutana na kiongozi wa Azimio Raila Odinga. 

Wahudumu wa bodaboda wakipokea zawadi ya Raila Odinga. 

Raila alikuwa kwenye kituo cha kuuza mafuta ya gari wakati alikutana na kundi hilo la wahudumu wa bodaboda. 

Alishuka toka kwenye gari lake na kuamua kuwapa zawadi katika kipindi hiki kigumu kiuchumi kwa kuwanunulia mafuta. 

Huku akiwa amejihami na bunda la noti, Raila al-maarufu 'Baba' anaonekana akilipa bili za mafuta ya kundi hilo na kuwaachia ujumbe kuwataka wachape kazi. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.