ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 17, 2022

MIILI MIWILI YAPATIKANA IKINING'INIA KARIBU NA SHULE KAUNTI YA KISII.

 


Miili ya wanaume hao imepatikana ikining'inia karibu na shule. 

 Mikono ya wanaume hao wawili ilikuwa imefungwa pamoja kwa nyuma, kaptura zao kuteremshwa hadi katikati na walionekana kama waliopigwa kabla ya kunyongwa. 

Kamanda wa polisi wa Kisii Kusini Charles Machinji amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wawili hao ni Erick Ogega na Canvas Magembe wenye umri wa miaka 25 na 22 mtawalia.

 Kulingana na Machinji, kulikuwa na ishara tosha kuwa wawili hao waliuawa asubuhi ya mapema, Jumatatu, Oktoba 17.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.