ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 15, 2022

KAULI YA HAJI MANARA BAADA YA KUONGEZA MKE WA PILI.

 


Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara ameweka wazi kwamba haikuwa kazi rahisi kuoa tena mke wa pili lakini anamshukuru Mungu kwa kufanikisha jambo hilo.


"Haikuwa Rahisi lakini kila jambo lina utaratibu wake vile Muumba wetu alivyolijaalia. Thanks Baba na Mama yangu kwa baraka zenu kwetu, karibu Mke wangu Rubynah Binti Salum kwenye familia yetu". ameandika Haji Manara


Taarifa za Manara kuoa mke wa pili zimetoka jana usiku baada ya kushea picha kwenye page yake ya Instagram huku baadhi ya mastaa wa kike kama Hamisa Mobetto, Zamaradi Mketema, Batuli Actress na Esha Buheti wakihudhuria harusi hiyo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.