ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 7, 2022

YANGA BARIIIIIIIDI KILELENI

 YANGA YATIFUA NYASI ZA KIRUMBA

_______________ Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza umesoma Geita Gold 0-1 @YangaSc Bao pekee la ushindi limefungwa na Fiston Mayele ilikuwa dakika ya kwanza na liliweza kudumu mpaka dakika ya 90 zinatamatika. Mayele anafikisha mabao 10 na pasi 3 za mabao sawa na Relliants Lusajo wa Namungo mwenye mabao 10. Yanga inafikisha pointi 45 wakiwa kileleni bila kupoteza mchezo wowote. Zaidi sikiliza #SportsRipoti ya @jembefmtz

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.