ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 10, 2022

WANAWAKE WAONESHANA UBABE ZIWANI SIKU YA MWANAMKE DUNIANI

 Jijini Mwanza kilele cha maadhimisho mwanamke dunia ni kilitanguliwa na mashindano ya mbio za mitumbwi kwa wavuvi wadogo zilizofanyika pembezoni mwa ufukwe wa Ziwa Victoria eneo la Kamanga Ferry.

Wizara ya Uvuvi na Mifugo kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani FAO na Shirika la EMEDO ndio waandaaji wa maadhimisho hayo ya mwaka huu. Shuhudia jinsi akinamama walivyopambana kuwania fedha kwa kuoneshana misuli ya upigaji makasia.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.