ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 7, 2022

SHEKHE WA MKOA WA MWANZA ANENA MAZITO KUHUSU KUACHIWA KWA MBOWE

 Sheikh wa Mkoa wa Mwanza, Hassan Kabeke amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kufuatia uamuzi wa Jamhuri kufuata kesi ya tuhuma za ugaidi iliyokuwa ikimkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Vilevile Kabeke ameipongeza hatua ya Mhe. Mbowe kuitikia wito wa Mhe. Rais na kukutana naye ikulu mara baada ya kutoka gerezani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.