ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 12, 2022

RAIS WA NNE ZAMBIA AFARIKI DUNIA.

 


Rais wa Nne wa Zambia aliyehudumu kuanzia mwaka 2008 hadi 2011 Rupiah Banda, amefariki dunia jana jioni Machi 11, 2022, akiwa na miaka 85, baada ya kuugua saratani.


Taarifa ya kifo chake ilitangazwa na Rais wa sasa wa Zambia, Hakainde Hichilema, baada ya kuutangazia umma wa wananchi wake kupitia runinga na kusema kama Taifa wanatambua mchango wake.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.