ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 8, 2022

BREAKING NEWS: RAIS AFANYABMABADILIKO KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Januari 8,2022 amefanya mabadiliko Madogo katika Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu.


Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.

Akitangaza mabadiliko hayo leo Jumamosi Januari 8, 2021 Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema Rais amefanya mabadiliko ya muundo katika wizara tatu.


Rais Samia amefanya mabadiliko hayo ikiwa anatimiza ahadi yake ya kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri.


Ofisi ya Rais Ikulu
Waziri wa Nchi Kazi Maalum – Kapeni Geroge Mkuchika

Waziri wa Utumishi – Jenista Mhagama

Naibu Waziri Utumishi – Deogratius John Ndejembi


TAMISEMI

Waziri – Innocent Bashungwa

Naibu Waziri – David Silinde

Naibu Waziri – Dugange


Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira

Waziri – Suleimani Jafo

Naibu Waziri – Hamis Hamis


Wizara ya Kazi Ajira

Waziri – Ndalichako

Naibu Waziri – Patrobas Katambi


Wizara ya Fedha

Waziri – Mwigulu Mwigulu
Naibu Waziri – Chande


Wizara ya Ulinzi

Waziri – Stergomena Tax


Wizara ya Sheria na Katiba
Waziri –  George Simbachawene
Naibu Waziri – Godfrey Mizengo Mizengo Pinda


Wizara ya Kilimo
Waziri – Hussein Bashe
Naibu Waziri – Anthony Mavunde


Wizara ya Uvuvi
Waziri – Mashimba Ndaki
Naibu Waziri – Abdallah Hamisi Ulega


Wizara ya Ardhi
Waziri – Angelina Mabula
Naibu Waziri – Ridhiwani Kikwete


Wizara ya Mambo ya Ndani

Waziri  – Mhandisi Hamad Masauni
Naibu Waziri – Sagini Jumanne Abdallah


Wizara ya Mambo ya Nje
Waziri – Liberata Mulamula
Naibu Waziri – Mbaruku


Wizara ya Maliasili
Waziri – Dkt. Damas Ndumbaro
Naibu Waziri – Mary Masanja


Wizara ya Nishati
Waziri – January Makamba
Naibu Waziri – Steven Byabato


Wizara ya Madini
Waziri – Dkt. Dotto Biteko
Naibu Waziri – Kiluswa


Ujenzi
Makame Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya


Viwanda
Kijaji
Kigahe


Wizara ya Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel


Wizara ya Elimu
Mkenda
Kipanga


Maendeleo ya jamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis


Wizara ya Maji
Jumaa aweso
Mahundi


Wizara ya Utamaduni
Mchengerwa
Gekul

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.