ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 3, 2021

DECEMBER TUNAKIWASHA SERENGETI.

 


Kampuni yetu ya AFRICAN PRINTEMPTS CULTURAL AND TRAVELS LIMITED ya jijini Mwanza 


18 December Tunakiwasha ni FUNGA MWAKA NA BATA LA SERENGETI huku ikiwa special kabisa kwa uzinduzi rasmi wa kampuni yetu ya @apc_travels 


Kutakuwa na mambo mazuri mengi ya tofauti na tour ambazo ushawahi kuzifanya au ulizisikia zikifanyika kwani hii ni UTALII NA BATA yani unatalii huku unakula bata 2 days 1 night. 


Bei zetu zipo hapo juu kwenye posta☝️ 


Kifupi tutakuwa na Tata bus na Cruiser na bei zake zitakuwa tofauti. 


Tata bus kwa Mtanzania au Eafrica utalipa 150k tu 


Cruiser kwa Mtanzania au Eafrica utalipa 255k tu hizo bei ni pamoja na malazi, malipo ya getting, kulala, usafiri n.k 


Kwa wale international maelezo yanajieleza kwenye posta au cheki nasi kwa namba za cm zilizopo hapo juu☝️ 


TWENZETU SERENGETI TUKATREND ILE KI #WORLDWIDE #ACHATUTREND

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.