ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 10, 2020

CHADEMA YAPATA PIGO.

Madiwani wawili wa CHADEMA Jijini Mbeya wamehamia Chama cha Mapinduzi (CCM), Madiwani hao ni Lucas Mwampiki wa Kata ya Mwakibete ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Madiwani wa CHADEMA na Diwani wa Kata ya Itagano, Hussein Wasoha.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.