ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 10, 2020

VIONGOZI WA CHEDEMA WAHUKUMIWA KULIPA FAINI JUMLA YA SH. MILIONI 350 AU KIFUNGO CHA MIEZI MITANO KWA KILA KOSA


Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imewahukumu viongozi wanane wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kulipa faini ya jumla ya shilingi milioni 350 au kifungo cha miezi mitano kwa kila kosa baada ya kuwakuta na hatia ya mashtaka 12.

Wabunge John Mnyika, Salum Mwalimu, Ester Matiko na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt Vicent Mashinji, kila mmoja anatakiwa kulipa faini ya Shilingi Milioni 30, na huku, John Heche, Peter Msigwa, Halima Mdee na Ester Bulaya wakitakiwa kila mmoja kulipa Milioni 40.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, yeye akitakiwa kulipa Shilingi Milioni 70 au kwenda jela miezi mitano.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.