ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 1, 2019

WAZIRI MWAKYEMBE AMTUMIA RC TANGA SALAMU ZA RAMBIRAMBI -VIFO VYA MASHABIKI WA HASSAN MWAKINYO.


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe, ametuma salamu za rambi rambi kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella kufuatia vifo vya watu wawili ambao ni mashabii wa bondia Hassan Mwakinyo.

Soma barua hiyo hapa chini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.