Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe, ametuma salamu za rambi rambi kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella kufuatia vifo vya watu wawili ambao ni mashabii wa bondia Hassan Mwakinyo.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment