ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 1, 2019

WAZAZI WAWAPAKA UNGA WATOTO WA KIKE DARASA LA 3 KUWAVUTIA WANAUME.


Mkurugenzi wa Shirika la Kivulini Yassin Ally ameeleza kuwa maambukizi mapya ya Virusi vya ukimwi kwa umri wa miaka 15-24 umeongezeka kwa kasi kutokana na wazazi jinsi wawaleavyo watoto wao pamoja na baadhi ya mikoa ikiwemo mkoa wa shinyanga wanafunzi wa wa kike kuanzia darasa la tatu wanapakwa unga ujulikanao kama 'Samba' ambao unadaiwa kuwavuta wanaume.

Jeh nao baadhi ya viongozi wa dini wanaojihusisha na vitendo viovu vya ukatili ambapo ni chanzo cha maambukizi nani wa kuwakemea?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.