ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, October 23, 2019

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANO WA UCHUMI KATI YA URUSI NA AFRIKA.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnagangwa na   Rais wa Uganda,  Yoweri Museveni  (kulia) wakimsikilza  Rais wa Urusi, Vladimir Putin  wakati alipohutubia katika  Mkutano  wa uchumi  kati ya  Afrika na Urusi  (Russia -Africa  Economic Forum) kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019








Rais wa Urusi, Vladimir Putin akihutubia katika Mkutano  wa uchumi  kati ya  Afrika na Urusi (Russia -Africa Economic Forum) kwenye Kituo cha Olympic Park, Sochi nchini Urusi, Oktoba 23, 2019













Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.