ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 6, 2019

WAJERUMANI WAVUTIWA NA MATUMIZI SAHIHI FEDHA ZA MIRADI YA SERIKALI YA JPM KUENDELEA KUWEKEZA MWANZA



Naibu Waziri Mhe.Jumaa Aweso mwishoni mwa wiki amendelea kuongoza ziara ya Ujumbe wa kamati ya Mazingira na maji ya Bunge la Ujerumani, ambao pia umekagua mradi wa majisafi na majitaka sehemu za milimani jijini Mwanza.

Aidha miongoni mwa wajumbe hao alikuwepo mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na maji Mhe. Mgimwa.




Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.