ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 20, 2019

ROCK CITY MARATHON 2019 YAJA KITALII ZAIDI


Huu ni msimu wa kumi wa mbio hizo za Rock City Marathon ambazo zimekuwa na mwitikio mkubwa,na mwaka huu inataraji kuwa na washiriki zaidi ya elfu tatu ambapo zaidi ya shilingi Milioni 30 kushindaniwa.
Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Dr. Phillis Nyimbi ameongoza wadau wa michezo katika uzinduzi wa zoezi la uchukuaji fomu za kujiandikisha kushiriki mbio hizo za kimataifa ambazo kwa mwaka huu 2019 zinatarajiwa kuja na moto zaidi kutokana na hamasa na jinsi wawezeshaji walivyojipanga.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.