ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 2, 2019

WAZIRI LUGOLA AONGOZA KIKAO CHA KUFUATILIA MALI ZA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA JIJINI DODOMA

 Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Kangi Lugola akizungumza wakati wa kikao na Uongozi wa  Mamlaka  ya  Vitambulisho  vya  Taifa (NIDA), lengo la kikao hicho ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo. Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Katibu  Mkuu  wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu,  akizungumza wakati wa kikao na Uongozi  wa  Mamlaka  ya  Vitambulisho  vya  Taifa (NIDA), lengo la kikao hicho ni ukaguzi  na  utambuzi wa  mali  za  mamlaka hiyo.Kushoto ni waziri wa wizara hiyo, Kangi Lugola. Kikao hicho kimefanyika  leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Naibu  Katibu  Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akizungumza wakati wa kikao na Uongozi  wa  Mamlaka  ya  Vitambulisho  vya  Taifa (NIDA), lengo la kikao hicho ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo. Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Kangi Lugola (katikati), Katibu Mkuu wa wizara, Meja Jenerali Jacob Kingu (kushoto)  na Naibu Katibu Mkuu ,Ramadhani Kailima (kulia) wakikagua orodha ya mali za Mamlaka  ya  Vitambulisho  vya  Taifa (NIDA),  wakati  wa  kikao  na uongozi wa mamlaka hiyo  lengo  ikiwa  ni ukaguzi  na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo.Waliosimama ni Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dk. Anold Kihaule na Mkurugenzi wa Utawala na Fedha NIDA, Merckion Ndofi(kushoto). Kikao hicho kimefanyika  leo  jijini  Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Mkurugenzi  wa  Sheria  wa  Wizara  ya  Mambo  ya  Ndani  ya Nchi, Merlin Kombaakizungumza wakati wa kikao na Uongozi   wa   Mamlaka   ya   Vitambulisho   vya   Taifa (NIDA),  lengo  la  kikao hicho  ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo. Kikao  hicho  kimefanyika  leo  jijini DodomaPicha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Mkurugenzi  Mkuu  wa  Mamlaka  ya  Vitambulisho  vya  Taifa(NIDA), Dk. Arnold  Kihaule akiwasilisha muhtasari wa mali za mamlaka hiyo mbele ya uongozi  wa  juu  wa  Wizara  ya Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, lengo la kikao hicho ni ukaguzi na utambuzi wa mali za mamlaka hiyo.Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.