ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 21, 2019

VIDEO: REAL MADRID YATAMBULISHA KIKOSI CHAKE KWA KICHAPO DHIDI YA BARYEN



Klabu ya Bayern Munich imefanikiwa kuifunga klabu ya Real Madrid 3-1 kwenye michuano ya International Champions Cup mjini Houston siku ya Jumamosi. 

 Mechi hiyo ambayo ilikuwa ya kwanza kwa mchezaji wa Madrid, Eden Hazard ambaye alipewa jezi yenye namba 50 mgongoni alishuhudia timu yake hiyo mpya ikichezea kichapo hiko.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.