ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 18, 2019

MAONESHO YA KWANZA YA KAZI ZA TEHAMA YAZINDULIWA NCHINI.

 Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akisaini mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi wa Maonyesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana
 Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akizungumza na Wageni waalikwa kutoka makampuni mbali mbali yaayojihusha na Tehama, Wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali walisoma mambo ya Tehama na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.  
 Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akisalimiana na baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.  
Naibu Waziri, Wizara ya Kazi Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mh.Anthony Mavunde akiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi kutoka vyuo mbalimbalibali walisoma mambo ya Tehama wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya kwanza ya kazi za Teheama nchini Tanzania yalioandaliwa na Huawei Tanzania  jijini Dar es Salaam jana.  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.