ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 4, 2019

KILA GAZETI LA MWANANCHI KUNA BODABODA.

 Mkurugenzi Mkuu wa Mwananchi Communications Limited, Frances Nanai akionyesha sehemu Kipande cha Gazeti la Mwanaspoti ambacho msomaji ukinunu unapaswa kujaza taarifa zako na unaweza kujishindia Bodaboda au Simu ya mkononi ama pesa taslimu mara baada ya uzinduzi wa Promosheni ya “Shinda Mchongo wa Mwanaspoti” uliyozinduliwa katika ofisi za Mwananchi Communications Limited. 
 Mkurugenzi Mkuu wa Mwananchi Communications Limited, Francis Nanai na Mwakilishi wa Michezo ya kubahatisha Tanzania, Jihudi Ngolo wakikata utepe kuashilia uzinduzi wa Promosheni ya”Shinda Mchongo wa Mwanaspoti” ulifanyika katika ofisi za Mwananchi Communications Limited. Kulia ni Meneja masoko wa MCL, Sara Munema na  Mkuu wa kitengo cha uzalishaji wa habari Mwananchi Communications Limited, Frank Sanga

Kutoka kushoto ni Mkuu wa kitengo cha uzalishaji wa habari Mwananchi Communications Limited, Frank Sanga, Mkurugenzi Mkuu wa MCL, Francis Nanai, Mwakilishi wa Michezo ya kubahatisha Tanzania, Jihudi Ngolo na Meneja masoko wa MCL,Sara Munema wakipiga mako) mara baada ya uzinduzi rasmi wa Promosheni ya  “Shinda Mchongo wa Mwanaspo” uliyozinduliwa katika ofisi za Mwananchi Communications Limited. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.