ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, June 17, 2019

WADUDU WAHARIBIFU WAVAMIA MASHAMBA YA WAKULIMA KWIMBA.

Wakulima katika Kata Fukalo Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, wamemweleza Mkuu wa Wilaya hiyo, Senyi Ngaga (katikati) kwamba wako hatarini kukumbwa na baa la njaa baada ya wadudu waharibifu wakiwemo funza na panya kuvamia mazao yao shambani na hivyo kuomba Serikali iwasaidie kupambana na wadudu hao.
Tazama vidio hapa chini

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.