ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, June 10, 2019

TAKUKURU YAWABURUZA MAHAKAMANI WATUHUMIWA SAKATA LA MFANYABIASHARA ALIYEKWAMISHWA MIAKA MI 3


Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)leo kuwafikisha mahakamani watuhumiwa watatu waliohusika na uzuiaji wa mzigo wa mfanyabiashara ambaye sakata lake liliibuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kikao cha ya Rais na wafanyabiashara.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.