ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 3, 2019

TANZANIA YAWA MFANO WA KUIGWA KATIKA UDHIBITI WIZI NA UNYONYAJI SEKTA YA MADINI.


WAZIRI wa Nishati na Madini wa nchi ya Uganda Peter Lokeris, mwanzoni mwa wiki hii amewasili jijini Mwanza akiwa na wajumbe wake kwaajili ya kujifunza namna Tanzania ilivyoweza kudhibiti wizi na unyonyaji Sekta ya Madini.


Wenyeji wa ujumbe huo ni Naibu Waziri wa Madini nchini Tanzania Stanslaus Nyongo, pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.