Wafanyakazi wa kampuni ya mawasiliano ya Zantel walipo Dar es Salaam na Zanzibar wameshiriki kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kufurahi pamoja na kusikiliza mada za kuwatia moyo, kuwajengea uwezo na jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kikazi na katika maisha yao ya kila siku nje ya kazi.
Hafla za kuadhimisha siku hiyo muhimu iliyoandaliwa na kampuni ilifanyika katika hoteli ya Epidol Masaki jijini Dar es Salaam na hoteli ya Golden Tulip iliyopo Zanzibar.
Mfanyakazi wa Zantel akichangia mawazo baada ya kusikiliza mada zilizotolewa.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Zantel , wakiwa katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika katika hoteli ya Epidol Masaki jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Zantel wakiwa katika picha ya pamoja katika hoteli ya Epidol.
Wafanyakazi wa Zantel Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja baada ya maadhimisho hayo.
RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo
tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa
wa Simiy...
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ku...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.