ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 29, 2019

MAKAMU WA RAIS AZINDUA MASHINE ZA KISASA ZA TIBA YA MIONZI, SARATANI LINAC.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu mara baada ya kuwasili katika viwanja vyaTaasisi ya Saratani (Ocean Road) kuzindua mashine mpya za tibaya mionzi LINAC, kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ocean Road, Dkt.Julius Mwaiselage, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Mohammed Bakari Kambi, Mwnyekiti wa Bodi, Taasisi ya Ocen Road, Prof Hamis Ndehenga.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu mara baada ya kuwasili katika viwanja vyaTaasisi ya Saratani (Ocean Road) kuzindua mashine mpya za tibaya mionzi LINAC, kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ocean Road, Dkt.Julius Mwaiselage, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Mohammed Bakari Kambi, Mwnyekiti wa Bodi, Taasisi ya Ocen Road, Prof Hamis Ndehenga.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Mohammed Bakari Kambi, mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Taasisi ya Saratani (Ocean Road) kuzindua mashine mpya za tiba ya mionzi LINAC , kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo, Dkt.Julius Mwaiselage na kushoto kwake ni Mwnyekiti wa Bodi, Taasisi ya Ocen Road, Prof Hamis Ndehenga
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi na wafanyakazi wa Taasisi ya Saratani Ocean Road (hawapo Pichani), kabla ya uzinduzi wa mashine mpya za tiba ya mionzi LINAC, uliofanyika leo katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Kathe Kamba, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangala na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Ocean Road, Dkt.Julius Mwaiselage.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akikata utepe kufungua mashine mpya za tiba ya mionzi LINAC, leo katika Taasisi ya Saratani Ocaen Road, Dar es Salaam
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akikata utepe kufungua mashine mpya za tiba ya mionzi LINAC, leo katika Taasisi ya Saratani Ocaen Road, Dar es Salaam
Moja ya Mashine za tiba ya mionzi LINAC (CT-STIMULATOR) iliyofunguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Raod, Jijini Dar es Salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.