ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 8, 2019

WANAHABARI MWANZA WAGUSWA NA MSIBA WA KIBONDE



SHUKRANI 

Ndugu waandishi wa habari wa Mwanza, tunawashukuru sana  kwa kujitokeza kwenu  tangia asubuhi hadi jioni kwenye  tamati ya kuusindikiza mwili wa  Mwandishi mwenzetu Ephraim Kibonde 

Tulijumuika sote kwa umoja wetu km waandishi wa Mwanza, hili ni jambo la kujivunia sana. Pia taasisi zetu za kihabari UKWAMA, UTPC, MPC na OJADACT zilifanya kazi kubwa ya kutuunganisha pamoja bila kujali itikadi zetu.

Tulipata nafasi ya kumuaga na kumsindikiza mwenzetu, hakika tumetimiza wajibu wetu.

Tunawashukuru sana 

 Edwin Soko 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.