ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 16, 2018

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA BALOZI MPYA WA PALESTINE NA UJUMBE WA MADAKTARI KUTOKA NCHINI NORWAY CHUO CHA "HOUKELAND UNIVERSITY HOSPITAL"

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Balozi Mpya wa Palestine Nchini Tanzania. Mhe. Hamdi.M.H.Abuali, alipofika Ikulu Zanzibar, leo kwa mazungumzo na kujitambulisha.tarehe 16/11/2018.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi Mpya wa Palestine Nchini Tanzania Mhe. Hamdi M.H.Abuali, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 16/11/2018, Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi Mpya wa Palestine Nchini Tanzania Mhe. Hamdi M.H.Abuali, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha, kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Issa Haji Ussi Gavu na Mshauri wa Rais Masuala ya Ushirikiano wa Kimataifa Fedha na Uchumi Mhe.Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa.(Picha na Ikulu) 16/11/2018.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na mgeni wake Balozi Mpya wa Palestine Nchini Tanzania.Mr.Hamdi M.H.Abuali, baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Zanzibar leo kujitambulisha.tarehe 16/11/2018.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na CEO wa Chuo Kikuu cha "Houkeland University Hospital" Mr.Eivind Hamsen, alipofika Ikulu Zanzibar na Ujumbe wake wa Madaktari Bingwa kwa mazungumzo,leo tarehe 16/11/2018.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Madaktari Bingwa kutoka Chuo cha "Houkeland University Hospital" kulia Mr. Eivind Hamsen -CEO,akiwa na ujumbe wake walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo.tarehe.16/11/2018.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Madaktari Bingwa kutoka Norway Chuo Kikuu cha "Houkeland University Hospital" kulia Wairi wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed,anayefuata ni CEO Eivind Hamsen na John Wigum Dahil, wakifuatilia mazungumzo hayo wakiwa nje ya ukumbi baada ya mazungumzo yao leo Ikulu Zanzibar.terehe 16/11/2018.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe wa Madaktari Bingwa kutoka Norway Chuo Kikuu cha "Houkeland University Hospital" kulia Wairi wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohammed,anayefuata ni CEO Eivind Hamsen na John Wigum Dahil, wakifuatilia mazungumzo hayo wakiwa nje ya ukumbi baada ya mazungumzo yao leo Ikulu Zanzibar.terehe 16/11/2018.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Madaktari Bingwa kutoka Chuo Kikuu cha "Houkeland University Hospital" walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo.tarehe 16/11/2018.(Picha na Ikulu)    

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.