Tarehe kama ya leo, Oktoba 25 miaka mitatu iliyopita, Watanzania walipiga kura katika uchaguzi mkuu na kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais. Katika uchaguzi huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Dkt John Magufuli alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment