ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 25, 2018

SIKU KAMA YA LEO TAIFA LA TANZANIA

Tarehe kama ya leo, Oktoba 25 miaka mitatu iliyopita, Watanzania walipiga kura katika uchaguzi mkuu na kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais. Katika uchaguzi huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Dkt John Magufuli alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.