Tupe maoni yako
Thursday, October 25, 2018
SIKU KAMA YA LEO TAIFA LA TANZANIA
Tarehe kama ya leo, Oktoba 25 miaka mitatu iliyopita, Watanzania walipiga kura katika uchaguzi mkuu na kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais. Katika uchaguzi huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Dkt John Magufuli alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa #Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment