ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 25, 2018

SAUTI:- SERIKALI YA MAREKANI KUINASUA WILAYA YA NJOMBE TOKA KWENYE KASI YA MAAMBUKIZI VVU.


GSENGOtV
Serikali ya marekani imeahidi kuendelea kushirikiana na jamhuri ya muungano wa Tanzania hususani mkoa wa Njombe katika kuendeleza jitihada za kupambana na kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi kutokana na mkoa wa Njombe kuendelea kuongoza kwa asilimia 11.6 nchini.

Akizungumza na mkuu wa mkoa wa Njombe CHRISTOPHER OLESENDEKA ofisini kwake Barozi wa Marekani nchini Tanzania INMI K PATTERSON baada ya kuwasili mkoani Njombe,anasema kutokana na ushirikiano wa mda mrefu baina ya serikali hizo mbili  hivyo serikali ya Marekani inaona nia ya kuongeza nguvu ili kutimiza adhma ya serikali ya Tanzania kufikia uchumi wa viwanda ifikapo mwaka 2025

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.