GSENGOtV
Kwa mara ya kwanza Rais John Magufuli ameliongelea sakata la makontena ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda yaliyozuiliwa bandarini na TRA yakitakiwa kulipiwa ushuru kama ambavyo sheria inaelekeza.
Tupe maoni yako
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment