ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, August 1, 2018

ANAYEDAIWA KUJITEKA MWANZA AKITAKA KUWAKAMUA PESA NDUGU ZAKE ANASWA NA JESHI LA POLISI



GSENGOtV

Polisi Mkoani Mwanza inamshikilia Prosper lema Mkazi wa Pasiansi na Mfanyabiashara wa kuuza vileo eneo la Pasiansi Wilayani Ilemela kwa tuhuma za kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kwenye simu za mkononi akidai kuwa ametekwa katikati ya Jiji na Watu wasiojulikana kisha kuomba atumiwe pesa zaidi ya shilingi milioni 5 ili aweze kuachiwa huru na watu waliomteka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.