ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 7, 2018

WERRASON AHAIDI KUPIGA BONGE MOJA LA SHOW KWA WAKAZI WA MWANZA

GSENGOtV
Baada ya kupiga show jijini Arusha mwanamuziki nguli toka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo Werrason Ngiama Makanda usiku wa leo anatarajiwa kupiga show ndani ya Rock City Mall. PICHANI akiwa na waandishi wa habari wa jijini Mwanza wakipiga selfie.

Akiongea na waandishi wa habari mapema leo asubuhi mara baada ya kutua jijini hapa, Werrason amesema kuwa amekuja kamili na wanamuziki wake 26 kwaajili ya kutimiza ahadi yake ya awali iliyoyeyuka kwenye ziara yake aliyoifanya mapema mwaka huu na kupangwa kufanya ndani ya mikoa kadhaa hapa nchini (ikiwemo Mwanza) lakini ikaathiriwa na mvua kubwa zilizokuwa zikiendelea kunyesha nchini.

Karibu sana Mwanza ni kauli ya Afande Jose kulia katika picha akimpa mkono Werrason
We...ndani ya Mwanza.
Werrason na mmoja wa waandishi wa habari kutoka Mwanza.
Radio washirika E Fm nao ndani.
Mwanamuziki nguli barani Afrika Werrason Ngiama Makanda akiwa katika picha ya pamoja na mwandishi Sitta Tuma wa Gazeti la Mtanzania Daima.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.