ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 26, 2018

USAJILI MBAO FC MOTO UPAMBIRE.

 Golikipa Hashim mussa Ametia wino kujiunga na Mbao Fc kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Majimaji Fc ya Songea.
 Mshambuliaji Evaristigus Bernard Mujwahuki amesaini mkataba wamiaka miwili kujiunga na Mbao Fc akitokea Mwadui Fc ya Shinyanga.

Evaristigus amejiunga moja kwa moja kambini, jijini Mwanza na wachezaji wengine kuendelea na program za koca katika kujiandaa na msimu ujao wa ligi.
 Aliwahi kuzichezea Kagera Sugar, Stand United, Simba Sc, Singida United na Toto Africans katika nyakati tofauti anamudu kucheza kama kiungo wa pembeni au mshambuliaji, tayari kajiunga rasmi na Mbao Fc.
Mshambuliaji Rajesh Kotecha ameongeza mkataba wa mwaka mmoja na Mbao Fc kwaajili ya msimu ujao wa ligi chini ya kocha Amri Said

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.