ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 21, 2018

MAKAMU WA RAIS AWASILI MKOANI SONGWE


GSENGOtV

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewasili Mkoani Songwe na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa katika uwanja wa Ndege wa kimataifa Songwe mapema leo asubuhi ili kuanza ziara ya kikazi ya siku tano.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.