ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 31, 2018

RAIS MAGUFULI KUWAAPISHA KESHO VIONGOZI WAPYA ALIOWATEUA.


Rais John Magufuli Jumatano Agusti 1, 2018 atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua Jumamosi iliyopita.

Taarifa iliyotolewa  jana Julai 30, 2018 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imesema viongozi hao ni, wakuu wa mikoa wanne na makatibu wakuu wawili.

Wengine ni, naibu makatibu wakuu wawili na makatibu tawala wa mikoa 13.

“Wakuu wa mikoa yote ya Tanzania Bara mnapaswa kuhudhuria tukio hili,”

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.