ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 29, 2018

KUANZIA TAREHE 2-6 JULY 2018 MBUNGE WA ILEMELA AJA NA ZOEZI LA KUPIMA AFYA BURE


TANGAZO

Mhe. Dkt Angelina Mabula Mbunge wa Jimbo la Ilemela mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela kupitia Ofisi ya Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilemela na Timu ya Madaktari toka Chuo Kikuu cha Tiba Cha California Marekani anawatangazoia wananchi wote wa Manispaa ya Ilemela kuwa kutakuwa na Upimaji wa Saratani ya Shingo ya Kizazi kwa wanawake wote na Upimaji wa VVU kwa hiari kuanzia Tarehe 02 – 06/07/2018 kuanzia saa 2 asubuhi HADI saa 10 jioni.

Huduma hii itatolewa katika Vituo vya Afya vya Sangabuye na Buzuruga.

Hakuna Gharama wala Malipo yoyote.

TANGAZO LIMETOLEWA NA

MKURUGENZI WA MANISPAA
ILEMELA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.