Ikicheza nyumbani kama timu wenyeji wa mashindano #Rusia imetupa karata yake ya kwanza michuano ya Kombe la dunia kwa kufanya mauaji kwa waarabu #SaudiArabia kwa kuwabamiza bao 5-0.
Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo
-
Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika
jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani
kwa ...
0 comments:
Post a Comment