ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, May 6, 2018

HATIMAYE RAPA STAMINA NA MCHUMBA WAKE WAFUNGA NDOA.


Hatimaye rapa Stamina amefunga ndoa  na mchumba wake wa muda mrefu ajulikanaye kwa jina la Veronica jana Mei 05, 2018 mjini Morogoro katika kanisa la Mtakatifu Consolata lilipo maeneo ya SUA mjini humo.

Kwenye harusi hiyo, Wasimamizi walikuwa ni swahiba wake Roma Mkatoliki na Mkewe Nancy ni kwa mujibu wa maelezo ya Stamina.

Mwaka jana rapa Stamina alimvisha pete ya uchumba mchumba wake huyo, Bongo5 inawatakia kila la kheri katika maisha yenu mapya ya ndoa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.