ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 18, 2018

BALOZI WA TANZANIA VATICAN USO KWA USO NA PAPA FRANCIS

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Dkt. Abdallah Possi jana Mei 17, 2018 aliwasilisha hati za utambulisho kwa Baba Mtakatifu, Papa Francis.
Balozi Possi pia anaiwakilisha Tanzania katika maeneo tisa ikiwemo mji wa Vatican.
Katika hafla hiyo, pia Dkt. Possi alikutana na Jumuiya ya Watanzania waishio mjini Vatican, ambapo aliwataka kutumia nafasi zao kuhakikisha Tanzania inadumu katika umoja na amani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.