Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ ameachiwa huru katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mara baada ya kulipa faini ya Shilingi Milioni 1.5.
Masogange alihukumiwa miaka 3 jela ama alipe faini ya Milioni 1.5 baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.