ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 26, 2018

MBUNGE ROSE TWEVE KUWAWEZESHA WANAWAKE WA UWT MKOA WA IRINGA

 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Rose tweve akiwa na naibu katibu mkuu bara wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi (UWT) taifa Eva Kihwele pamoja na katibu wa umoja wa wanawake wa Ccm (UWT) wilaya ya Kilolo Judith Laizerwakiangalia shughuli zinazofanywa na vikundi vya wanawake wa UWT tafasa ya mazombe

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.