ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, January 6, 2018

KINGUNGE ASEMA YEYE NI CCM NA CHAMA HAKIWEZI KUWA KINYUME CHAKE.


Mzee Kingunge anatibiwa majeraha baada ya kushambuliwa na mbwa. Akiwa katika kitanda cha hospitali amemwambia  Rais Magufuli  kuwa CCM ni chama chake na amekiunda yeye.

“CCM ni chama changu nimetoka tu, tumeachana lakini nimefanya kazi zote, nimekiunda mimi, hakiwezi kuwa kinyume changu,”– Mzee Kingunge 

amesema hayo alipotembelewa na kujuliwa hali na Rais magufuli katika hospitali ya taifa ya muhimbili.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.