ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 10, 2018

KURA YA LOWASSA HAINA ATHARI ZOZOTE KWA UCHAGUZI 2020 ASEMA MCHAMBUZI EDWIN SOKO.


Suala la Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Mhe. Edward lowassa kukutana Ikulu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli limezua mijadala huku watu wakitoleana mapovu nao waungwana wakitoa maoni yao mbalimbali.

Kazi na ngoma ya Jembe Fm leo imezungumza na Mwenyekiti wa Chama cha kupambana na kuzuia matumizi ya madawa ya kulevya nchini OJADACT ambaye pia ni mchambuzi wa masuala ya siasa na kijamii Bw. Edwin Soko.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.