ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, November 27, 2017

TIMU YA WAANDISHI WA HABARI WA MKOANI IRINGA (IMFC) YAINGIA KAMBINI


 

TIMU ya waandishi wa habari wa mkoani Iringa  imeingia kambini kujiwinda na mchezo wa fainal kati ya bingwa wa mashindano ya Spanest cup,mchezo huo utacheza katika uwanja wa Hifadhi ya Ruaha.
 
Wakizungumza na blog hii viongozi wa timu hiyo  walisema wapo tayari kukabiliana na timu ya Itunundu maarufu kama sukari ya warembo.

Timu hii ya waandishi haijawahi kufungwa katika fainali yoyote ile hivyo Itunundu wajipange

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.